MADAWA

455,301
0
Published 2022-08-04
Katika vitu sio vya kucheza navyo ni serikali, hasa katika hii idara, Maana wanaweza kuja ukadhani ni wenzako kumbe wapo kazini...

All Comments (21)
  • East Africa hakuna joti. MASHAALLAH πŸŽŠπŸŽ‰πŸ₯³πŸ₯³πŸ‘Œkipaji kama kipaji,yaani hakuna kufosi
  • Kama naww umesikia mwamba akisema dan ger gonga like twende sawa joti mbavu zetu tafadhali🀣🀣
  • Team joti tujuane hapa,,nipeni like hata kumi leo cjachelewa saana
  • @wellbrand3415
    Escape Plan hatari sanaa... Polisi wamekula vumbi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • @lulumussa6458
    Joti on. πŸ”₯πŸ”₯ utaira juu ya uchizi aisee nimecheka sana big up πŸ†™ ila tumemiss KIPANDE na SOPA πŸ’ͺ
  • @nilla1657
    Joti udalali wa nyumba anauleta kwenye biashara haramu anafunguka tuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ€£
  • Nakutazama kutoka New Jersey πŸ‡ΊπŸ‡Έ sasa hivi, uko na wafuasi wakenya πŸ‡°πŸ‡ͺ wengi sana huku Joti. Lots of ❀️ 😍. Mungu azidi kiwalinda na kuwatunza waigizaji wetu wote kwenye team yako
  • 🀣🀣🀣🀣🀣yani mwanzo nilikuwa naichukulia poa sana ira mwishoni nimecheka kamafara kabisa Joti no1 comediantz
  • @johnngeke6457
    John ngeke from KIBAHA naombeni like Kama tukopamoja na team joti
  • @mrjaula7769
    Kazi mandonga Amekubalika mpaka na Mzee joti mwenyewe 🌟🌟🌟
  • @abelmange5430
    Jamaa anakwambia Dangeli Yaan Danger...Nishai kajiongeza mwishoni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ Kapita Na mdundoo 🀣🀣
  • Huyo aliesema danger danger ndo kamstua joti kwa ishara zao πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
  • @salama1113
    Nipeni like mwenzenu nimecheka hadi nimelia sio kwa ukilema huwo nishaiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
  • @TamuzaKale
    WE MSENGE utaniua kwa kucheka. Kumanina nimecheka balaa. Sasa kile kipande cha kuona wenzako wamejibadili. Ukaona isiwe tabu, bora na wewe uligalambuwe tu!
  • Nimecheka kifala kwaiyo kule mwish ni mandondocha au🀣🀣🀣🀣🀣🀣